Friday, August 30, 2013

AINA MBALIMBALI YA KUSUKA NYWELE KWA WATOTO.

     Mitindo mbalimbali ya kusuka nywele kwa watoto.          





Mtindo huu unaitwa mbinjuo umesukwa kwa kutumia nywele za kawaida,lakina mikia imesukwa kwa kutumia uzi wa vitambaa mweusi.

 



Msuko huu unaitwa yeboyebo.

 


Huu unatwa mbinjuo wa vibutu,ambapo mbele unasuka mbinjuo na nyuma vibutu.








Hii ni mitindo mbalimbali ya kusuka nywele kwa watoto, pia misuko hii unaweza ukatumia rasta kusukia au nywele zenyewe ukasuka ni mizuri na inavutia.

 



No comments:

Post a Comment